Header Ads

HAIKUA BAHATI YETU LAKINI NI HATUA KUBWA, BIG UP DIAMOND PLATNUMZ

Asie kubali kushindwa si Mshindani ni Msemo ambo umezoeleka sana na pengine masikio yako yameisha sikia sana hiki kitu lakini ndiyo ukweli ulivyo, Kufika tu huko na kuchaguliwa kuwania Tuzo za BET ni Hatua kubwa sana katika Muziki wetu, kwani ni mara ya kwanza msanii kutoka Tanzania na kwenda kushiriki katika Tuzo kubwa Duniani za BET. Tunakupongeza sana Bwana Diamond Platnumz Japo Ushindi haujaja nyumbani lakini tunaamini Wakati ujao basi tunaweza na sisi Tukaishangaza Dunia.

Unatuonyesha njia na kututia hamasa ya Kufanya Kazi nzuri na kujituma zaidi kila jua lichomozapo ili tufike Mbali zaidi, Eeeh mwenyezi Mungu Tusaidie

No comments:

Powered by Blogger.