Header Ads

Mkubwa na Wanawe Centre yafungua Studio Mpya Mkoani Mtwara

 Mkubwa na wanawe music center imefungua studio nyingine mkoani Mtwara, ikiwa na lengo la kuinua vipaji vya muziki hata vilivyojificha.
 Studio inaitwa MKUBWA MUSIC na producer ni  Zest Mkali karibun wadau wote wa muziki tanzania

No comments:

Powered by Blogger.