Header Ads

Chege na Temba Studio Kuandaa Ujio wao Mpya


Baada ya Ukimya wa Muda Mrefu kidogo sasa Chege na Temba wako studio wakiandaa Kazi yao Mpya Chini ya Producer Shiricom katika Studio za Mkubwa na Wanawe.. 

Kwa sasa wameamua kufanya Mziki wa Biashara na hata Ngoma hiyo inayofanyika ukiisikia lazima utaielewa tu ni bonge moja ya Ngoma Mdundo pia Ni hatarii.

 Track hiyo inatarajiwa Kutoka Mapema Mwezi wa Tatu,Kama Ulimiss Kitu kutoka Kwa Hawa Jamaa Jipange kuwapokea na Ujio wao Huu Mpya.

No comments:

Powered by Blogger.